Tano bora ya chama cha mapinduzi




CHAMA CHA MAPINDUZI
tunashukuru ka maombi na wengne wanaozidi kutufuatilia tunachoomba ni kuwashukuru kwa usalama na amani ya nchi ilivyo sasa tumeshamaliza kikao cha majina matani kati ya walioomba ambao ni
1.Edward Ngoyai lowasa
2.Bernard Membe
3.Asharose migiro
4.Makongoro nyerere
5.Augustino Ramadhani
 
tunasisitiza amani ya chama na amani ya nchi naamini tunapoelekea wataenda kutenda haki na haki itazngatiwa na tutazngatia maoni ya wananchibpia wanahitaji nini nitoe lai tuu kuwaomba baada ya kupata futari basi wajumbe watarudi tena katika mkutano baada ya masaa kadhaaa kusikiliza kama hakuna ridhiko hapo lakini.mpaka sasa tulipofikia ni hapo na tutazidi kujulishana tunazidi kuhamasisha amani ya nchivna amani ya chama Nape N k/mwenezi PAMOJA TUTASHINDA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Post a Comment

Previous Post Next Post