Kutangazwa rasmi mshindi wa urais 2015 kutokaa ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar Es Salaam

Kutangazwa rasmi mshindi wa urais 2015 kutokaa ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar Es Salaam,mh magufuri amepewa cheti.hafla hiyo iliyojumuisha watu mbalimbali wakiwemo jaji mkuu mstaafu mh warioba..na wasimamizi wa uchaguzi wa nje akiwemo mh rais wa nigeria obasanjo.

Post a Comment

Previous Post Next Post