Matokeo ya form four 2015/2016 yametoka rasmi leo.

Baraza la mtihani (NECTA) limetangaza Matokeo ya kidato cha nne leo, ambapo  ufaulu  unaelezwa kushuka  kwa 1.85%  toka  69.75%  mwaka 2014  hadi 67.91%  mwaka  2015.
kuangalia Matokeo bonyeza hapo chini

 Angalia Matokeo hapa

Post a Comment

Previous Post Next Post