Mamia ya watu wamiminika kumwaga Dkt. Didas Masabur
katunzi890
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na
mkewe wakitoa heshima zao za mwisho na kuaga mwili wa Meya wa Dar es
salaam wa zamani Dkt. Didas Masaburi katika viwanja vya Karimjee jijini
Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016