RAIS WA VIETNAM, MHE. TRUONG TAN SANG AKARIBISHWA IKULU, JIJINI DAR LEO


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Joseph Magufuli wa pili 
kushoto) akimkaribisha mgeni wake Rais wa Vietnam, Mhe. Truong Tan Sang Ikulu Jijini
Dar es Salaam 9 Machi,pia walikuwemo viongozi wa serikali wengine kama Waziri mkuu 
 Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
 
 
 
 

Post a Comment

Previous Post Next Post