Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Joseph Magufuli wa pili
kushoto) akimkaribisha mgeni wake Rais wa Vietnam, Mhe. Truong Tan Sang Ikulu Jijini
Dar es Salaam 9 Machi,pia walikuwemo viongozi wa serikali wengine kama Waziri mkuu
Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.