ALIKUWA MPENZI WA WATU HASA KATIKA TASNIA YA HABARI R.I.P RUGE


Ni Simanzi na Majonzi vimetawala kwenye tasnia ya habari na burudani baada ya kufariki kwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds  Media Group, Ruge Mutahaba ambae alifariki Feb, 26, 2019 Afrika Kusini ambapo alipokuwa akipatiwa matibabu.

Post a Comment

Previous Post Next Post