ALIKUWA MPENZI WA WATU HASA KATIKA TASNIA YA HABARI R.I.P RUGE
katunzi890
Ni Simanzi na Majonzi vimetawala kwenye tasnia ya
habari na burudani baada ya kufariki kwa Mkurugenzi wa Vipindi na
Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba ambae alifariki Feb, 26, 2019 Afrika Kusini ambapo alipokuwa akipatiwa matibabu.