Uchaguzi Mkuu Uganda 2021

 


Uganda imeagiza watoaji huduma za mtandao kufunga mitandao yote ya kijamii na programu za kutuma ujumbe kufikia Jumanne hadi wakati usiojulikana, kwa mujibu wa barua kutoka kwa mdhibiti wa mawasiliano nchini humo iliyonukuliwa na shirika la habari la Reuters.

Facebook

Twitter

Instagram

Whatsap

Youtube n.k



Post a Comment

Previous Post Next Post