Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii nchini Marekani




Mwanamitindo wa Kimataifa anaefanyia kazi zake za nchini Marekani Flaviana Matata amechagulia na


Wizara ya Maliasili   kuwa Balozi wa Hiyari ‘Good Will Ambassador’ kwa kipindi cha miaka mitatu kwa dhumuni la kutangaza  vivutio vya utalii vya Tanzania ndani na nje ya nchi.
Flaviana ambaye juzi alikuwa mmoja kati ya shuhuda wa kushuhudia wizara ya maliasili na utalii wakizindua rasmi tangazo litakalokuwa linatangaza vivutio vya Tanzania nje ya anchi alitawazwa leo hii na katibu mkuu Dr Adelhelm James Meru aliyemkabidhi kwa niaba ya Waziri , Mheshimiwa Lazaro Nyalandu huku Kaimu Mkurugenzi Madam Devota Mdachi akishuhudia

Post a Comment

Previous Post Next Post