HIACE YATUMBUKIA BAHARINI, YAUA WAWILI

DAR ES SALAAM WATU wawili wamefariki dunia baada ya kutumbukia baharini wakiwa ndani ya gari aina ya Toyota Hiace iliyokuwa imebebwa ndani ya Kivuko cha MV Kigamboni, Dar es Salaam. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea jana, wakati kivuko hicho kikipakia abiria katika kituo cha Magogoni. Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo, Brown Mwakalago aliiambia MTANZANIA kuwa lilitokea saa 10 alfajiri ambapo mmoja wa waliofariki dunia ni dada yake, Nice Mwakalago (52) mkazi wa Tukuyu mkoani Mbeya. Akisimulia tukio hilo, Mwakalago alisema walitoka Mbeya kuja Dar es Salaam

Post a Comment

Previous Post Next Post