Hatimaye Algeria aibuka Bingwa katika fainali iliyochezwa usiku wa leo tarehe 19/07/2019 afcon

Algeria ameibuka bingwa katika fainali iliyochezwa dhidi dhidi ya senegal kwa kuwaburuza senegal kwa goli moja kwa bila mchezo huo ulichezwa katika uwanja wa cairo international.

Post a Comment

Previous Post Next Post