Algeria ameibuka bingwa katika fainali iliyochezwa dhidi dhidi ya senegal kwa kuwaburuza senegal kwa goli moja kwa bila mchezo huo ulichezwa katika uwanja wa cairo international.
Hatimaye Algeria aibuka Bingwa katika fainali iliyochezwa usiku wa leo tarehe 19/07/2019 afcon
katunzi89
0