Tanzania yafuzu Kushiriki CHAN 2020

hatimaye Taifa stars yatinga fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani (chan) baada ya kuifunga sudan kwa goli mbili kwa moja (2-1),
Magoli hayo kwa upande wa Taifa stars yalifungwa na Erasto nyoni na itram Nchimbi.
hongereni Taifa Stars

Post a Comment

Previous Post Next Post