Maalim Seif, ametangaza nia ya kugombea urais wa Zanzibar(ACT))

Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa nchini Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad, ametangaza nia ya kugombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.


Post a Comment

Previous Post Next Post