Uchaguzi wa Zanzibar wafutwa


Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi zanzibar (zec) jecha salim jecha ametangaza kufutwa kwa uchaguzi wa wa serikali ya mapinduzi zanzibar kwahiyo uchaguzi utafanyika baada ya siku 90.

Post a Comment

Previous Post Next Post